
Hata hivyo mkuu wa jeshi la angani Alex Badeh,alisema kuwa wanajeshi wa Nigeria ndio waliokuwa katika kambi hiyo ya kijeshi,inayotumika na wanajeshi wa mataifa mbalimbali.
Inafahamika kuwa kambi hiyo iliyovamiwa ipo kando ya ziwa la Chad ilishambuliwa siku ya jumamosi na wapiganaji wa kundi la boko haramu.


NIGERIA YATEKWA TENA
Reviewed by Saidia Turuki
on
03:48
Rating:
No comments: