Crystal Renay ndiye mpenzi halali wa Star wa RnB, Neyo kutoka Marekani na tayari tarehe kamili ya Ndoa yao imsha tangazwa kuwa ni February 20 2016 yaani mwezi ujao.

FAHAMU: katika kadi za harusi zilizo anza kutolewa zina jina halisi la Neyo ambalo ni "Shaffer Chimere Smith pamoja na la mpenzi wake Crystal Renay.
TAREHE RASMI YA NDOA YA NEYO HII HAPA:
Reviewed by Unknown
on
03:49
Rating:

No comments: